PICHA ZA MIKUTANO KATIKA JIMBO LA NAMPULA NA PEMBA
![]() |
| (NAMPULA) ndugu huyu alifika mkutanoni akiwa ni mgonjwa na pia hawezi kutembea |
![]() |
| Mchungaji Magembe alichukua magongo na kuanza kumuombea apate uponyaji |
![]() |
| Baada ya maombi ndugu kuulizwa anajisikiaje akasema amepona mchungaji Magembe akiwa ameinua gongo kumshangilia mungu kwa matendo yake makuu |
![]() |
| Ndugu huyu aliambiwa atembee ili kudhihilisha uponyaji ulio fanyika ndani yake |
![]() |
| Rafiki yangu alitembea na kukimbia kabisaa.. mpaka watu wakabaki wana mshangaa mungu anavyotenda mambo makubwa |
![]() |
| Pia mama huyu alifika mkutanoni akiwa hawezi kutembea ameletwa kabebwa rakini baada ya maombi aliweza kusimama na kukimbia |
![]() |
| Ndugu huyu pia alifika akiwa hawezi kutembe, akitembea kwa msaada wa gongo, ( mchugaji magembe alimuombea) |
![]() |
| Ndugu huyu alipokea uponyaji na kuanza kutembea |
![]() |
| Katika nchi ya msumbiji mikutano ya injili imekua ikifanyika mida ya jioni kuanzia saa12-2usiku na watu wengi wamekua wakiokolewa na kuponywa |
![]() |
| ( PEMBA) Umati wa watu waliokubali kumpa yesu maisha yao katika mkutano wa jimbo la pemba nchini msumbiji |
![]() |
| Watoto hawa nao wanaliitaji neno mpaka wakakubali kukaa chini wamsikilize muhubiri |
![]() |
| watu woote wakiwa makini kulisikiliza neno la mungu |
![]() |
| Baada ya neno nguvu za mungu kwa wingi zilishuka na kuanza kuhusika na maisha ya watu |
![]() |
| Wababa hawa wameguswa na nguvu nyingi za mungu na wamejimimina kwa mungu |

















KARIBU GOSPEL CAMPAIGN CENTRE T.A.G MAJUMBA SITA UMPE YESU MAISHA YAKO NA PATE UPONYAJI WAKO LEO
ReplyDelete