![]() |
Familia hii ilipokelewa rasmi katia ibada hiyo na kutambulishwa na mchungaji Magembe kama washirika wapya katika kanisa la majumbasita. |
![]() |
baadhi ya wazee wa kanisa wakipeana mikono na wageni hao mara baada ya kutambulushwa na kukaribishwa na mchugaji. |
![]() |
Kulia ni mmishenari Saju wa kutoka India akiwa pamoja na mzee kiongozi(mr.Hezron nyagawa) wa kanis la T.A.G. M/6 wakifuatilia kwa makini kilichokua kikiendelea ibadani. |
![]() |
Pia mama Saju alipata nafasi ya kuzungumza na kuliaga kanisa (mchungaji magembe akimsikiliza kwa makini kwaajili ya kutafsiri ) |
![]() |
Pia mchungaji Saju alipata nafasi yya kuliaga kanisa na kuhitimisha semina kwa neno la mungu. (mch.Magembe akitafiri)
Picha na Yohana Magembe.
|
HONGERENI
ReplyDelete