Mnamo mwaka jana mwezi wa pili AFRIKA KUMEPAMBAZUKA ilifanya uzinduzi maalum wa mwaka wa uamsho katika bara la afrika, uzinduzi huo lifanyika pale katika viwanja vya jangwani na baada ya uzinduzi uo afrika kumepambazuka ilifika katika nchi ya msumbiji china ya mkurugenzi wake mch.MOSES MAGEMBE na kuzunguka majimbo7 kati ya 10 yaliyopo nchini humo. miujiza mingi mikubwa ilifanyika na watu wengi walimgeukua mungu.
PICHA ZA MIKUTANO KATIKA JIMBO LA NAMPULA NA PEMBA
 |
(NAMPULA) ndugu huyu alifika mkutanoni akiwa ni mgonjwa na pia hawezi kutembea |
 |
Mchungaji Magembe alichukua magongo na kuanza kumuombea apate uponyaji |
 |
Baada ya maombi ndugu kuulizwa anajisikiaje akasema amepona mchungaji Magembe akiwa ameinua gongo kumshangilia mungu kwa matendo yake makuu |
 |
Ndugu huyu aliambiwa atembee ili kudhihilisha uponyaji ulio fanyika ndani yake |
 |
Rafiki yangu alitembea na kukimbia kabisaa.. mpaka watu wakabaki wana mshangaa mungu anavyotenda mambo makubwa |